Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
Friday 27 February 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako