Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
6 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako