Jumatatu mwanzo wa wiki. Baada ya mapumziko ya mwisho wa wiki yalosindikzwa na siku ya Wapendanao, sasa ni muda tena wa kuwajibika. Nawatakia nyote mafanikio katika majukumu yenu maofisini,mashambani,mashuleni na popote unapowajibika kihalali.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
21 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako