Moja ya maduka madogo ya maeneo ya vijijini na mtaani ambayo raia hujipatia mahitaji yao ya kila siku. Kuendelea kuwajibika,kutunza mtaji, kuboresha mauzo kutampelekea mjasiriamali huyu baadae kuwa na duka duka na hata Supermarket. KUMBUKA hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako