Kesho ni Jumatatu wanafunzi wanarudi shuleni kupambana na kitabu.Lakini kwa watoto kama hawa wa shule ya Awali huko Songea wanaenda shule ila mazingira ya usomaji hayaridhishi kabisa. Serikali tupieni macho haya mapungufu. Marekebisho yanawezekana na juhudi tu na kutilia mkazo uwajibikaji stahili.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
5 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako