Kesho ni jumatatu, k2wa wanafunzi hawa wanaosomea sakafuni unadhani watakuwa wanajisikia vizuri kwenda shuleni? Shule ambapo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa na utulivu na furaha, kwa hawa ni tofauti kabisa. Serikali na vyombo husika, tupieni jicho jambo hili
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
4 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako