Ajali mbaya kuwahi kutokea Musoma ikihusisha basi la Mwanza Coach lililokuwa likitoka msm-mwz na J4 Bus lililokua likitoka mwz-sirari, Pia likihusisha gari dogo aina ya Nissan Murano ambapo wawili waliokuwepo wamefariki pia watu wanaokadiriwa 38 waliokuwa kwenye mabasi wamefariki hadi sasa na kuna uwezekano wa idadi kuongezeka,MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MAHALA PEMA AMINA.
Askari wa usalama eneo la tukio
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako