Maisha jamani kila mtu alivyoumbwa tu. Huyu mwenzetu pengine alipewa hizi dola ili akanunua mahitaji yake ila kwakuwa kwake hela sio kitu cha msingi basi anaitafutia matumizi katika ya mahitaji ya maisha yao ya kila siku.
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako