Kuwakuta watoto katika hali kama hizi hasa maeneo ya vijiji asilia ni jambo la kawaida na kama ulitokea sehemu kama hizo na hukupitia hatua hizi basi kuna kitu ulimiss.
Majaliwa: Taifa Lenye Ujuzi Linaushinda Umaskini
5 minutes ago
"Home Sweet Home"
Umenikumbusha mbali kaka....
ReplyDeleteYaani we acha tu. Ulikuwa ugomvi usoisha na mama hasa inapofika muda wa kuoga
Deletehahaaaaa kazi kwelikweli!
ReplyDelete