Timu ya Taifa ya Ujerumani imetolewa katika mashindano ya UEFA EURO 2016 kwa kuchapwa magoli 2 kwa bila na timu ya Taifa ya Ufaransa. Sasa Ufaransa itacheza na Ureno katika fainali siku ya Jumapili
Majaliwa: Taifa Lenye Ujuzi Linaushinda Umaskini
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako