Kutokana na hali ngumu ya maisha ya jamii nyingi nchini, watoto wengi wamejikuta wakilazimika kufanya kazi ambazo hawastahili katika umri huo. Ni jukumu la viongozi,wazazi na jamii kwa ujumla kuangalia hatua za kuchukua kutatua tatizo hili.
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako