Hata wiki haijapita tangu daraja hili lifunguliwe rasmi, tayari wananchi wameanza kuchafua mazingira kwa kuweka viroba vya uchafu kwenye nguzo za taa. Tubadilike jamani.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
27 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako