Msemo unaojiri mjini kwa sasa ni kuwa Mvua nazo zinawajibika kunyesha kikamilifu kwa kuogopa kutumbuliwa. Ni muhimu kwa wale wanaoishi sehemu hatarishi kutafakari mara mbili maana japo ni hali ya maisha imepelekea waishi huko lakini kwa madhara ya mvua hii pia hali za maisha yao zinazidi kuwa mbaya.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
21 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako