Wakati muda wa `mapumziko’ ya bomoabomoa ukimalizika leo huku jaribio la kupata zuio la muda likiwa limewekwa kiporo, wakazi wa Jangwani ambako nyumba zitaanza kubomolewa leo, jana waliweka mabango barabarani yanayotuma ujumbe wa aina mbalimbali kwa Rais John Magufuli.
Wakati wa mafuriko hupata adha hii
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako