Wakati muda wa `mapumziko’ ya bomoabomoa ukimalizika leo huku jaribio la kupata zuio la muda likiwa limewekwa kiporo, wakazi wa Jangwani ambako nyumba zitaanza kubomolewa leo, jana waliweka mabango barabarani yanayotuma ujumbe wa aina mbalimbali kwa Rais John Magufuli.
Wakati wa mafuriko hupata adha hii
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako