MFANYAKAZI: samahani Boss leo sitaweza kuja kazini maana ninapoishi maji yamejaa kila mahala hakuna pa kupita. Nipo kama kisiwani hapa.
BOSS: Nakumbuka ulipokuwa unaomba kazi uliorodhesha moja ya vitu unavyopendelea (Hobby) ni kuogelea. "Tukutane kazini"
Hakuna namna itabidi kutumia mbinu hii kufika kazini. Umesahau kauli mbiu ni "HAPA KAZI TU"
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako