Ni wikiendi, ni wakati wa kupumzika na kupata burudani. Mbwana Samatta ametupa wikiendi murua Watanzania. Ametuletea heshima kubwa. Msanii hapa anaweka pia angalizo, kuwa kwenye furaha na burudani hii aliyotuletea Samatta, kuna wenye matarajio mengine kutoka kwake...
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako