Tunapoendelea kusherehekea Eid, ikiwa ni siku ya Jumapili pia tujipe moyo kwa kutokata tamaa katika yale tufanyayo kila siku ili mradi ni mema. Mungu yupo pamoja nasi. Tazama wengine ambavyo wanajitahidi. Tumia neema ulizojaliwa na mungu kwa manufaa-maendeleo yako na jamii kwa ujumla.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
7 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako