Ni matumaini yetu kuwa Serikali itakayoingia madarakani hapo Oktoba itajitahidi kusaidia kupunguza adha hii ya maji. Poleni sana kinamama wote mnaoteseka kwa tatizo jili la kufuata maji umbali mrefu.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
9 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako