Mhe Edward Lowassa aliyekatwa CCM na kuamua kuhamia CHADEMA, leo amechukua Fomu ya kuomba kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho.
Mhe Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA mhe.Freeman Mbowe mara baada ya kukabidhiwa Fomu za urais
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
5 minutes ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako