MANENO KUNTUUUUUUUUUUU................................
Kama watu wanaogombea wako hivi kwanini Wema naye asigombee? Ukikubali kina fulani wagombee basi na kina fulani nao waachwe wagombee. Watanzania wakiwachagua wataishi na uchaguzi huo kwa miaka mitano. Kama ana mashabiki wake katika Bongo Movie na hata nje ya Bongo movie kwanini asigombee?
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
6 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako