Timu ya Barcelona imeifunga Juventus mabao 3 kwa 1 katika Fainali za UEFA CHAMPIONS zilizofanyika huko Berlin Ujerumani na kuchukua kombe hilo kwa mwaka 2015
Mchezaji Evra wa Juventus akichuana vikali na mchezaji Messi wa Barcelona katika Fainali hizi
Wachezaji nyota Messi na Neymar na mbwembwe zao
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
40 minutes ago






No comments:
Post a Comment
Maoni yako