Ripoti za hivi punde zasema kuwa zaidi ya watu 147 wameuawa katika shambulio hili. Hii ni zaidi ya unyama jamani. Binadamu wanakosa kuona thamani ya uhai wa binadamu mwenzao tena hasa hawa wanafunzi ambao wanasoma kutengeneza maisha yao ya baadae.
((Tahadhari picha hii hapa chini ya mauaji inatisha))
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
9 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako