Mwisho wa juma umewadia, nawapa pole kwa majukumu mbalimbali ya kujenga Taifa,familia na pilika zote za kutafuta maisha bora. Ila ni muhimu kuwa makini namna tunavyotumia weekend zetu hasa ukizingatia hii imekuja mwishoni mwa mwezi pia.
Kwa staili hii ya unywaji, tutafika kweli???
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
20 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako