Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete amesema atajitolea kurudi kufundisha katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi baada ya kumaliza awamu yake ya Uongozi katika nchi kama Raisi. Ameyasema hayo jana katika mdahalo wa Wahadhiri na wanafunzi wa Chuo hicho huko Kunduchi Dar es Salaam. Itakumbukwa mhe Raisi alikuwa akifundisha katika Chuo cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania huko Monduli kipindi fulani.
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako