Wakati sehemu nyingi za nchi wanalalamika upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule mbalimbali, hawa wenzetu sehemu fulani mikoa ya Kaskazini wamegeuza darasa kuwa Stoo ya kuni. Je hii ni sahihi?
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
9 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako