Alokuwa Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA)Mhe.Phillemon Ndesamburo amefariki wiki ilopita na mazishi yake kufanyika huko KDC Moshi. Alikuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Upinzani CHADEMA
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako