Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW likiteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara, gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka Tarime-Sirari na Mwanza.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
5 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako