Pamoja na tatizo kubwa la uharibu wa misitu na mazingira, biashara ya mkaa imeendelea kushamiri hasa maeneo ya Mijini.
Hapa chini ni Biashara ya mkaa maeneo ya Kigogo Fresh nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako