Aliyekuwa Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro.
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Mei, 2017 amemteua Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Mkuu wa polisi (IGP).
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako