Marehemu Ivan Don Marehemu Mume wa zamani wa Zari, Mke wa sasa wa Diamond Platnumz.
Leo May 25, 2017 zimeripotiwa taarifa za kifo cha Ivan Semwanga “Ivan Don” mfanyabiashara maarufu kutoka nchini uganda na aliyekuwa mume wa mrembo Zari the Boss Lady, ambaye amefariki baada ya kuugua ghafla takriban wiki moja sasa.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
10 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako