IKULU: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ambapo uteuzi wa kujaza nafasi yake utafanyika baadaye.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
5 hours ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako