Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Humphrey Polepole alieteuliwa kuwa Katibu Uenezi CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Makamu Mwenyekiti wa (CCM Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Philip Mangula kabla ya kuanza kikao cha CCM kufanya uteuzi wa wajumbe mbalimbali jijini Dar es Salaam
TBS Yatoa Mafunzo kwa Waokaji Kuhusu Ubora wa Bidhaa
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako