Katika kusherekea siku ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammed (S.A.W), Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kuwatumikia Watanzania wote bila kujali imani zao za kidini. Majaliwa ameyasema hayo katika sherehe za kitaifa za Maulid ambazo zimefanyika mkoani Singida
TBS Yatoa Mafunzo kwa Waokaji Kuhusu Ubora wa Bidhaa
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako