Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, Desemba 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria Nchini Afrika ya Kusini
BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA
40 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako