Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, Desemba 6. Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria Nchini Afrika ya Kusini
TBS Yatoa Mafunzo kwa Waokaji Kuhusu Ubora wa Bidhaa
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako