Ndege nyingine ya Shirika la Ndege la Malaysia,imeanguka mpakani mwa Ukraine na Urusi na inasadikiwa watu wote waliokuwemo wamefariki. Ndege hiyo MH17 ilikuwa inatokea Amsterdam Uholanzi kwenda Kuala Lumpur ikiwa na abiria 280 na wafanyakazi 15
njia ya ndege hiyo na mahali ilipopoteza mawasiliano
Picha zaidi za tukio
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
7 minutes ago






No comments:
Post a Comment
Maoni yako