Timu ya Argentina iliyo na mchezaji maarufu Lionel Messi wamefuzu kuingia nusu fainali Kombe la Dunia baada ya kuichapa Ubelgiji 1-0 katika pambano kali lililomalizika hivi punde.
Gonzalo Higuain akipiga shuti la nguvu kuifungia Argentina bao pekee.
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
6 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako