Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete akitazama ramani ya utakaokuwa Terminal 3 ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa JN Dar es Salaam katika uzinduzi wa ujenzi wake ulofanyiika jana. Uwanja huo unajengwa kwa ufadhili wa Serikali ya Uholanzi na watarajiwa kukamilika mwaka huu.
Kukata utepe katika uzinduzi wa ujenzi huo
WRRB YAJA NA UBUNIFU KWENYE ZAO LA PARACHICHI
6 hours ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako