Moja ya maduka makubwa ya bidhaa mbalimbali nchini Kenya ya Nakumatt inatarajiwa kuja kuchukua nafasi ya maduka ya Shoprite yaliyopo nchini kuanzia katikati ya mwaka. Maduka haya ya Shoprite yanamilikiwa na mwekezaji kutoka Afrika ya Kusini.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
9 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako