Moja ya maduka makubwa ya bidhaa mbalimbali nchini Kenya ya Nakumatt inatarajiwa kuja kuchukua nafasi ya maduka ya Shoprite yaliyopo nchini kuanzia katikati ya mwaka. Maduka haya ya Shoprite yanamilikiwa na mwekezaji kutoka Afrika ya Kusini.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako