Mhe Rais Magufuli akiongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Samwel Sitta katika viwanja vya Karimjee Jijini dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akimfariji Mama Margareth Sitta, Mjane wa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Novemba 11, 2016.
Mwili wa marehemu Samwel Sitta ukiwa Bungeni Dodoma kuagwa
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
23 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako