Sijui ni kwa kiasi gani umeweza kuwapa picha na mtazamo bora wa maisha hao watoto wako. Usisahau kwamba wao wanajifunza kwa asilimia 70 kutoka yale wanayokuona ukiyafanya na asilimia 30 tu kwenye yale unayoongea. Ukiongea na kufoka sana pasipo kuwaonyesha matendo watatoka kapa:
Tuwaonyeshe watoto mifano bora.
Mhe Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama na watoto wake Malia na Sasha
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako