Timu ya Taifa ya DRC baada ya ushindi wa Kombe la Afrika yaliyofanyika Kigali/Rwanda waliporudi nyumbani kwao wakapokelewa na Rais wao Mhe.Josepph Kabila na wakakabidhiwa zawadi ya Prado kwa kila mchezaji.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
21 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako