Hali ya taharuki ilijitokeya jana baada ya Kivuko cha Mv.Magogoni kupata hitilafu kikiwa majini.
Hata hivyo hakikusababisha ajali. Na abiria wote walitoka salama.
Ila nakuwekea hii picha nyingine hapa chini nikiwa na maoni binafsi. Wakati wenzetu walopatwa na msukosuko huo wa Kivuko kuingia maji, wapo wengine wamekazania kuchukua 'selfie' au taswira za tukio bila kutoa msaada wowote kwa waadhirika. Ni muhimu kutambua nafasi ya binadamu na kuwasaidia na sio kuchukua tu taswira.
WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE
25 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako