Jumuiya ya Afrika Mashariki inahusisha Uganda Tanzania Rwanda Kenya na Burundi kama zilivyo Bendera zao kutoka kulia. Na ya mwisho kushoto ndio Bendera ya Jumuiya
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako