Meli ya Oasis Seas ndio inayoongoza kwa ukubwa. Ina uwezo wa kuchukua abiria 6,300 na wahudumu 2394 kutoka zaidi ya nchi 71. Ndani ina kila aina ya maraha. Imetia nanga katika Bandari ya Southampton huko Uingereza.
Ramani ya meli hiyo
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
10 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako