Madreva na wamiliki wa mabasi yaendayo Arusha na sehemu nyingine ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro yakianzia Kituo hiki cha Moshi, wameweka mgomo wa kutopeleka magari yao stendi leo kutoa huduma, na hatimae kuamua kucheka mpira wa mguu kati ya madreva na makondakta.
Stendi yageuka kiwanja cha kandanda
(Picha kwa hisani ya Dj.Seki)
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako