POKEA NASAHA:
BABA 1 alikuwa anaosha gari lake jipya, MWANAE mdogo wa miaka 5 akalichora hilo gari ubavuni kwa jiwe. BABA akakurupuka na kumbana mkono kwa koleo,ikapelekea vidole 3 kuharibika. Wakiwa hospitali, wakati anakatwa vidole, MTOTO akamuangalia BABA, akamuliza, vitarudi tena? BABA akaumia sana, akarudi kwenye gari aone MTOTO alivyochora, Kakuta MTOTO kaandika, DADY, I LOVE YOU. Kanuni ya maisha ni WATU wapendwe, VITU vitumiwe. Tatizo la walimwengu wa leo, wanapenda VITU, kuliko WATU. Kumbuka neno la MUNGU lasema, "PENDANENI KAMA NINAVYOWAPENDA MIMI"
CTA NA FAWETZ WAWAJENGEA UWEZO WATOTO WA KIKE TANZANIA
55 minutes ago
Hasira hasara!!
ReplyDelete