Picha hii inanikumbusha ule ujanja wa mbuni kuchimbia kichwa chacke kwenye kichaka huku mwili wote upo nje kana kwamba anajificha. Huyu jamaa ni vyema akaenda kijijini kulima matembele kulikoni kuendelea na usanii huo maana siku wajanja kama mie tukimgundua, ni kichapo cha mbwa mwizi. Kipofu anasoma message,anaandika title tena kwa kiingereza, wapi na wapi?
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
4 minutes ago

Good and nice information
ReplyDelete