Ndege anapokuwa hai huwa anakula sana funza, lakini atakapokufa funza humla yeye.
Maisha hubadilika kila wakati hivyo usimdharau wala kumuumiza mtu yeyote katika maisha.
Unaweza kuwa imara saaana leo lakini kumbuka maisha ni imara kuliko wewe.
Mti mmoja unaweza ukatengeneza mamilioni ya njiti za kiberiti lakini muda ukifika njiti moja tu ya kiberiti inaweza ikachoma msitu mzima.
Kuwa mwema kwa kila mtu.
PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA
10 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako