Mtoto huyu Elise Tan Roberts ana umri wa miaka miwili tu, lakini anaonekana kuwa na kiwango kikubwa mno cha uwezo kiakili - ambacho wenzetu wanaita IQ - na amekuwa mtoto "GENIUS" mwenye umri mdogo kuliko wote. Anajua makao makuu ya 'karibu kila nchi' duniani. Anapoulizwa hapotezi muda kufikiri, bali anaporomosha jibu kama 'hana akili nzuri.'
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako