![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhT5A7RRXniRV5UNevOahKYL-XkTbBMMojWE43pQVuSWFbiHJPAsA8VdoFhGoi5m2o6PtbBGnD4jjgZdjS0Ge-eiC4Vq-c6-4NC-TeHawxuwQxpq0IKCQXhl1lKM3iwwNgIUUeF_OgzpHY/s280/Elise%5B1%5D.jpg)
Mtoto huyu Elise Tan Roberts ana umri wa miaka miwili tu, lakini anaonekana kuwa na kiwango kikubwa mno cha uwezo kiakili - ambacho wenzetu wanaita IQ - na amekuwa mtoto "GENIUS" mwenye umri mdogo kuliko wote. Anajua makao makuu ya 'karibu kila nchi' duniani. Anapoulizwa hapotezi muda kufikiri, bali anaporomosha jibu kama 'hana akili nzuri.'
No comments:
Post a Comment
Maoni yako