Kijana aliyempiga "kelebu" Raisi mstaafu Mhe. Alhaji Ali H. Mwinyi amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela. Kijana huyo alimpiga Alhaji kofi/kelebu wakati Raisi mstaafu huyo alipokuwa akihutubia siku ya sikukuu ya Maulid katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini.
KAMATI YA BUNGE YAIPIGIA SALUTI TEKNOLOJIA YA STAMICO
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako